Wizara ya Afya inaendelea kuikinga jamii ya Watanzania dhidi ya magonjwa yanayozuilika kwa Chanjo ambayo ni Kifua kikuu, Donda Koo, Kifaduro, Polio, Surua, Rubella, Pepo punda, Homa ya ini, ... Soma zaidi
Habari
Timu ya wataalamu wa madawa (wafamasia) na mtaalamu wa maabara kutoka hospitali ya Rufaa mkoa wa Manyara wakiongozwa na Bi. Catherine Shirima, wametoa elimu ya usugu wa dawa na ... Soma zaidi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe ametoa wito kwa Watumishi wa Sekta ya afya Mkoa wa Manyara kushirikiana katika kutoa huduma za afya kwa wananchi ili kuendana na uwekezaji... Soma zaidi
Kikao cha bodi ya ushauri robo ya pili 2022/2023, kilikuwa na agenda muhimu za Utekelezaji wa robo ya pili ya 2022/2023 ,Taarifa ya maendeleo ya ujenzi na wasilisho la elimu ya Bima... Soma zaidi
Mkuu wa mkoa wa Manyara Mh. Charels Makongoro Nyerere akizindua kampeni ya upandaji miti 5,000 katika eneo linalozunguka ziwa Babati, inayoratibiwa na wadau wa mazingira ikiwemo Mati Superbr... Soma zaidi
Katika muendelezo wa utoaji ripoti za siku (Morning Reports) Idara ya Dharura iliendesha mafunzo mafupi juu ya Huduma za Dharura kuhusu ufufuaji wa mishipa ya moyo kwa kitaalamu... Soma zaidi
KAMPUNI YA MATI SUPERBRANDS YAKABIDHI ZAWADI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MANYARA Katika kuadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwa @matisuperbrands , Uongozi na wafanyakazi wa kampuni h... Soma zaidi
Katika kampeni ya kidunia ya siku 16 kupinga ukatili wa kijinsia wenye kauli mbiu isemayo “KILA UHAI UNA THAMANI TOKOMEZA MAUAJI NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO” ... Soma zaidi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ametembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi na utoaji huduma za afya. ... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Manyara imetembelewa na wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Bagara, ambao wanatarajia kufanya mitihani ya kitaifa tarehe 14/11/2022. ... Soma zaidi