Barua Pepe | Facebook | Instagram | Twitter |

Uhusiano na Mawasiliano

KUHUSU KITENGO

 

Majukumu ya Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano

  • Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuu juu ya uendeshaji wa kazi za habari na mahusiano
  • Kuandaa mpango, bajeti, mpango kazi, mpango mkakati wa kutekeleza kazi za habari na mahusiano katika Hospitali
  • Kutangaza na kuchapisha kazi na miradi inayofanyika katika Hospitali
  • Kutangaza maeneo ya uwekezaji ya Hospitali katika tovuti, radio, magazeti na majarida
  • Kuhakikisha tovuti ya Hospitali ina taarifa mpya kila wakati pamoja na Hospital Profile
  • Kuandaa na kutoa majarida kuhusu Afya
  • Kushiriki katika mijadala ya jamii kuhusu masuala ya Afya.
  • Kutumia TEHAMA katika kutoa elimu kwa jamii
  • Kusimamia press briefing za Hospitali
  • Kushauri Hospitalii juu ya uandaaji, uzalishaji na usambazaji wa nyaraka kwa wadau mbalimbali
  • Kushirikiana kwa karibu na afisa habari na uhusiano wa Mkoa na wa Wizara ili kubadilisha uzoefu na kujengeana uwezo.
  • Kutengeneza ,maktaba ya picha za mnato na video za hospitali.
  • Kuandaa na kushiriki maonyesho mbalimbali yanahusiana na Afya kwa kutengeneza vipeperushi na makala za maonyesho husika.
  • Kuhamasisha shughuli mbalimbali za Hospitali za kimkoa kwa kutumia vyombo vya habari