Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao inayoongozwa na M/Kiti Steve Nyerere na Katibu Cherrie Khamis (Monalisa), wametembelea majeruhi wa mafuriko ya Hanang na wagonjwa waliolazwa katika wodi hospi... Soma zaidi
Habari
Ziara ya Waziri Mkuu Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa akiambatana na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga, Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe. Godwin Mollel pa... Soma zaidi
Miss Tanzanite Manyara (2022-2023) Prisca Nangay, Mkurugenzi wa Natha’s Entertainment Bi. Aminatha Adolf Shamghe na Warembo wengine wakiongozana na Muuguzi Mfawidhi Bw. Msafiri Sehaba wam... Soma zaidi
Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Bi. Karoline Mthapula amewataka mamia ya wananchi wanaofanyiwa uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kupitia jopo la Madaktari Bingwa wanaotoa matibabu katika hospit... Soma zaidi
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Manyara wakiongozwa na Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndg. Fakii Lulandala na Viongozi wa UVCCM Mkoa, wameshiriki kufanya usafi na kuwajulia hali wago... Soma zaidi
Mapema leo watumishi wa Hospitalini hapa wamepewa mafunzo ya kuwasiliana na viziwi wakati wanapowahudumia. Akizungumza Bw. Daud Donald ambaye ni Afisa Ustawi wa Jamii hospitalini hapa ames... Soma zaidi
Mafunzo ya usomaji na utumaji wa vipimo vya wagonjwa kwa ajili ya kufanyiwa kipimo cha CT Scan, yametolewa leo hospitalini hapa kwa madaktari na Dkt. Fides Canuty ambaye ni Mtaalamu... Soma zaidi
Msisitizo umetolewa na Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Bw. Ahmed Mtele na Bi. Queenter Mawinda wakati walipokuwa wakitoa elimu ya matumizi ya mifumo na barua pepe za serikali, kwa W... Soma zaidi
Leo ni Siku ya Wafanyakazi Duniani, ambapo watumishi wa hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara wameungana na watumishi wa taasisi nyingine kuadhimisha siku hii iliyofanyika kimkoa Wilaya ya Baba... Soma zaidi
Wizara ya Afya inaendelea kuikinga jamii ya Watanzania dhidi ya magonjwa yanayozuilika kwa Chanjo ambayo ni Kifua kikuu, Donda Koo, Kifaduro, Polio, Surua, Rubella, Pepo punda, Homa ya ini, ... Soma zaidi