Timu ya wawakilishi kutoka hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara imetembelea kambi za Sabato zilizofanyika mkoani Manyara tarehe 4-9 Septemba, 2022 kwa lengo la kuhabarisha umma juu ya Huduma z... Soma zaidi
Habari
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kupitia idara za kinywa na meno, na fiziotherapi ilitoa elimu kwa watumishi wa NSSF Manyara. Zoezi hilo pia liliambatana na kueleza huduma mbalimbali zi... Soma zaidi
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe amewatia moyo watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kwa kuwataka kufanya kazi kwa kutumia kanzi data ili kuleta ufanisi katika u... Soma zaidi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Wauguzi ni miongoni mwa wataalamu wa Afya wanaopaswa kuheshimiwa na kupewa thamani inayostahili... Soma zaidi
Mkoa wa Manyara umeanzisha mpango wa dharura wa kuhakikisha wananchi wanajikinga na homa inayosababishwa na virusi vya Corona, kwa kuwapatia uwezo timu ya wataalamu wa afya mkoa na wilaya il... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara imeadhimisha kikao cha watumishi wote tarehe 3, Februari, 2020 ambacho kiliongozwa na Bi. Mary Ntira Afisa Utumishi Mkuu kutoka Wizarani na Uongozi wa Hosp... Soma zaidi
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara, kupitia kwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Damas Kayera imewasilisha msaada kwa mgonjwa asiejiweza(jina limeifadhiwa) kwa kumpatia baiskeli ya walemavu ambayo ilifik... Soma zaidi
Serikali imezitaka Halmashauri zote nchini kujipanga kwa ajili ya maandalizi ya kuupokea mfumo ulioboreshwa wa usimamizi na uendeshaji wa shughuli za afya (Improved Government of Tanzania He... Soma zaidi
Mnamo tarehe 21 Novemba, 2019, M. A. R Musa, Katibu Tawala Mkoa wa Manyara na Dkt. Katherine T. Magali Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara kwa niaba ya Dkt. Zainab Chaula, Kat... Soma zaidi
Wagonjwa wakiwa katika harakati mbalimbali za kufuata taratibu za kupokea huduma za kibingwa.... Soma zaidi