Katika kuhitimisha Kliniki Maalum ya Madaktari Bingwa wa Mkoa wa Manyara iliyoanza tarehe 18 Novemba 2024 na kuhitimishwa tarehe 22 Novemba 2024 katika Hospitali ya Wilaya ya Simanjiro jumla... Soma zaidi

Katika kuhitimisha Kliniki Maalum ya Madaktari Bingwa wa Mkoa wa Manyara iliyoanza tarehe 18 Novemba 2024 na kuhitimishwa tarehe 22 Novemba 2024 katika Hospitali ya Wilaya ya Simanjiro jumla... Soma zaidi
Hospitali ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na wadau wa afya Novo Nordisk Haemophilia Foundation (NNHF), Novemba 21,2024 wamezindua Kliniki itakayosai... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, Idara ya Watoto, Kitengo cha Watoto Wachanga wamefanya hafla fupi siku ya jana tarehe 18/11/2024, kuadhimisha Siku ya Mtoto Njiti Duniani ambayo hufany... Soma zaidi
Katika kuhitimisha Wiki ya Magonjwa yasiyoambukiza Kitaifa tarehe 16 Novemba 2024, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara ilifanya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza na kuelimisha kuhusu mago... Soma zaidi
Kitengo cha Afya ya Akili ambacho kipo ndani ya Idara ya Magonjwa ya Ndani kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, kimefika leo Chuo cha Veta Manyara kuelimisha wanafunzi kuhusu afya y... Soma zaidi
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt. Andrew Method ameshiriki kikao cha Watumishi cha Robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025 kilichofanyika hapa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara siku ya jana ... Soma zaidi
Kamati ya kudumu ya Bunge ya afya na masuala ya UKIMWI imetembelea hospitali ya rufaa ya mkoa wa Manyara kwa lengo la kukagua huduma za afya hasa kwenye kituo cha tiba na matunzo kwa w... Soma zaidi
Katika kilele cha Siku ya Uoni Duniani leo tarehe 10/10/2024, Wakazi waishio Mji wa Babati wamejitokeza kupima na kupata matibabu ya macho, ambapo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kwa k... Soma zaidi
Watumishi kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara wameshiriki katika Timu ya Utumishi Sports Club, ambayo ipo chini Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika... Soma zaidi
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mh. Felister Mdemu ametoa wito kwa dawati la kijinsia mkoani Manyara kuongeza nguvu na kushirikiana kati... Soma zaidi