Siku ya leo Jumamosi tarehe 24 Agosti 2024, Walimu na Wanafunzi kutoka shule ya msingi Mutuka iliyopo Halmashauri ya Mji wa Babati, walifika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Manyara il... Soma zaidi

Siku ya leo Jumamosi tarehe 24 Agosti 2024, Walimu na Wanafunzi kutoka shule ya msingi Mutuka iliyopo Halmashauri ya Mji wa Babati, walifika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Manyara il... Soma zaidi
Kutokana na ugonjwa wa homa ya nyani uliotambulika kama MPOX na kuonekana kuwa na visa vingi maeneo mbalimbali duniani ikiwemo na bara la Afrika kwenye ukanda wa Afrika Mashariki, nchi ya Ke... Soma zaidi
Katika Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani, Bi Josephine Mosha (Afisa Muuguzi Msaidizi) na Bw. Reginald Dinya (Afisa lishe) watumishi wa hapa hospitalini wameendelea kuelimi... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara imepokea msaada wa mashuka 79 kutoka kwa Vyama vya ushirika mkoa wa Manyara siku ya leo tarehe 21/06/2024. Akizungumza wakati wa kupokea msaada huo M... Soma zaidi
Na WAF - Manyara Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mh. Queen Sendiga, ametoa wito kwa wananchi wa mkoani hapa na watanzania kwa ujumla kujenga mazoea ya kuchangia damu ili kuwasaidia watu wenye uh... Soma zaidi
Wananchi waishio mkoa wa Manyara katika Kata ya Katesh –Hanang’ na Kata ya Gallapo – Babati wamejitokeza kwa wingi katika kliniki tembezi ya uchunguzi na matibabu ya macho iliyofanyika Juni ... Soma zaidi
Pichani ni Wanafunzi na Walimu wa Shule tano (5) za sekondari zilizopo H/Mji wa Babati mkoani Manyara pamoja na Afisa Afya Mazingira wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara Bi. Magdalena Ml... Soma zaidi
Wadau mbalimbali wa Kuthibiti na Kushughulikia Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia likiwemo Dawati la Jinsia mkoa wa Manyara lililopo Wilayani Babati pamoja na Afisa Maendeleo na Afisa Ustawi wa... Soma zaidi
Katika kuelekea Siku ya Mchangia Damu kitaifa Mkoani Manyara Juni 14 mwaka huu, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara wakishirikiana na Manyara House of Talent wameendesha zoezi la ukusanyaj... Soma zaidi
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara wamepita kwenye wodi za wazazi na watoto, kwa nia ya kuwapatia zawadi mbalimbali ikiwa ni katika kuadhimisha Siku ya Wauguzi Duniani inayofan... Soma zaidi