Barua Pepe | Facebook | Instagram | Twitter |

Ukaribisho

profile

Dkt. Katherine T. Magali
Mganga Mfawidhi wa Hospitali

Karibu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara Hospitali yetu ina utamaduni wa kufanya kazi kwa ukaribu na wagonjwa ili kuhakikisha kuwa huduma bora za afya zinatolewa kila wakati. Wafanyakazi wetu wa hospitali wamefunzwa kikamilifu katika michakato ya hivi karibuni na ...

Soma zaidi

Huduma Zetu zote

Kliniki ya Wanawake na afya ya Uzazi

  • Uchunguzi na matibabu ya changamoto za uzazi (infertility)
  • Upasuaji wa magonjwa mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa wanawake
  • Huduma za uzazi wa mpango na uchunguzi wa saratani
  • Uchunguzi na matibabu ya maamb...
readmore

RCH

  • Hospitali yetu inalenga huduma za uboreshaji wa afya ya mama na mtoto, afya ya mama na mtoto ni vipao mbele muhimu katika Hospitali yetu ili kukabiliana na kuweza kupunguza vifo vya mama na mtoto.
  • zipo huduma mbalimbali zitolewazo katika kiten...
readmore

Huduma hizi utolewa kila siku katika hospitali yetu.

Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;

  • Ustawi na uzuiaji, kama vile ushauri nasaha na mipango ya kupunguza uzito.
  • Utambuzi, kama vile vipimo vya maabara na skizi za MRI.
  • ...
readmore

Huduma hii utolewa kila siku katika hospitali yetu.

Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;

  1. Utunzaji wa papo hapo
  2. Matibabu
  • Huduma ya wagonjwa wa ndani hutolewa kwa utunzaji na matibabu kulingana na mahitaji ya wagonjw...
readmore

Matukio zote

Muda wa Kuwaona Wagonjwa

Jumatatu - Ijumaa

  • Kutoka 06:00 to 08:30
  • Kutoka 13:30 to 15:00
  • Kutoka 18:00 to 19:30

Kliniki za Leo zote

Elimu ya Afya zote

ELIMU YA LISHE

Lishe bora maana yake ni kula chakula cha kutosha na chakula chenye virutubisho vyote muhimu. Lishe bora  husaidia mwili kukua vyema, kuujenga mwili lakini pia huimarisha kinga ya mwili ili kuweza  kupigana na magonjwa. Ili lishe iwe bora ni muhimu iwe na...

read more
CORONA (COVID-19)
ELIMU YA MAGONJWA YA TUMBO YANAYOSABABISHA KUHARISHA

Magonjwa haya ni kama vile homa ya tumbo (typhoid), kipindupindu, amoeba na minyoo. Haya ni magonjwa yanayosumbua jamii zetu kwa kiwango kikubwa. Yanasababishwa na kunywa au kula chakula chenye vimelea vya magonjwa hayo.

NJIA YA KUSAMBAA KWA MAGONJ...

read more
HOMA YA INI

Kitaalam, ugonjwa huu wa ini   husababishwa na virusi vya Hepatitis B(HBV)ambayo vinathiri  mifumo wa utoaji wa sumu katika  mwilini wa binadamu. Inaaminika kwamba robo tatu ya watu ulimwenguni  wameathiriwa na vinyemelea vya  homa ya ini na wengine milio...

read more

Maudhui ya Wizara zote

Matangazo zote