Katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo hufanyika tarehe 12 Mei kila mwaka, Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara wameadhimisha kwa kuwatembelea wagonjwa waliolazwa w... Soma zaidi

Katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo hufanyika tarehe 12 Mei kila mwaka, Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara wameadhimisha kwa kuwatembelea wagonjwa waliolazwa w... Soma zaidi
Pichani ni Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara katika matukio tofauti tofauti waliposhiriki Siku ya Wafanyakazi Duniani leo tarehe 30 Aprili 2025 katika Uwanja wa Tanzanite Kw... Soma zaidi
Hayo yamesemwa leo tarehe 28 Aprili, 2025 na Afisa Fiziotherapia Bi. Stella Mgema na Bi. Shamsa Kizera kutoka Idara ya Utengamao katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara walipotembelea O... Soma zaidi
Katika kuendelea kuwajengea uwezo watumishi wa afya katika kutoa huduma, Afisa Fiziotherapia Bi. Stella Mgema na Bi. Shamsa Kizera kutoka Idara ya Utengamao, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ma... Soma zaidi
Wanawake kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara walisherehekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani hapo jana Machi 08, 2025 kwa kufanya matendo ya huruma na msaada kwa jamii, wal... Soma zaidi
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Manyara katika kuadhiminisha kilele cha wiki ya mlipa kodi, imetembelea wodi ya watoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara na kutoa msaada wa ... Soma zaidi
Pichani ni Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara wakitoa huduma kwa wananchi katika Hospitali ya wilaya ya Kiteto (Kibaya) katika Kliniki Maalum ya Madaktari Bingwa wa Nd... Soma zaidi
Waumini wa Kanisa la Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu Mjini Babati, wakiongozwa na Baba Paroko Thadeus Mosha Mshanga, wafanya matendo ya huruma kwa kutoa msaada kwa wagonjwa katika Hospita... Soma zaidi
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh. Queen Sendiga leo tarehe 6 Februari, 2025 amezindua Bodi ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, Bodi ya Wajumbe kumi (10) kati yao wawili ni Mganga ... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, kwa kushirikiana na Shirika la @kccoeyehealth , kwa udhamini wa Serikali ya Australia, imefanya uchunguzi wa macho kwa wananchi wa Kata ya Daudi, Wilay... Soma zaidi