Kikao cha bodi ya ushauri robo ya pili 2022/2023, kilikuwa na agenda muhimu za Utekelezaji wa robo ya pili ya 2022/2023 ,Taarifa ya maendeleo ya ujenzi na wasilisho la elimu ya Bima... Soma zaidi

Kikao cha bodi ya ushauri robo ya pili 2022/2023, kilikuwa na agenda muhimu za Utekelezaji wa robo ya pili ya 2022/2023 ,Taarifa ya maendeleo ya ujenzi na wasilisho la elimu ya Bima... Soma zaidi
Mkuu wa mkoa wa Manyara Mh. Charels Makongoro Nyerere akizindua kampeni ya upandaji miti 5,000 katika eneo linalozunguka ziwa Babati, inayoratibiwa na wadau wa mazingira ikiwemo Mati Superbr... Soma zaidi
Katika muendelezo wa utoaji ripoti za siku (Morning Reports) Idara ya Dharura iliendesha mafunzo mafupi juu ya Huduma za Dharura kuhusu ufufuaji wa mishipa ya moyo kwa kitaalamu... Soma zaidi
KAMPUNI YA MATI SUPERBRANDS YAKABIDHI ZAWADI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MANYARA Katika kuadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwa @matisuperbrands , Uongozi na wafanyakazi wa kampuni h... Soma zaidi
Katika kampeni ya kidunia ya siku 16 kupinga ukatili wa kijinsia wenye kauli mbiu isemayo “KILA UHAI UNA THAMANI TOKOMEZA MAUAJI NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO” ... Soma zaidi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ametembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi na utoaji huduma za afya. ... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Manyara imetembelewa na wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Bagara, ambao wanatarajia kufanya mitihani ya kitaifa tarehe 14/11/2022. ... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara imeazimisha siku ya wafamasia duniani kwa kutoa elimu kwa jamii ya matumizi sahihi ya dawa. Timu ya wafamasia kutoka hospitali ya mkoa, wakiwemo:... Soma zaidi
Timu ya wawakilishi kutoka hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara imetembelea kambi za Sabato zilizofanyika mkoani Manyara tarehe 4-9 Septemba, 2022 kwa lengo la kuhabarisha umma juu ya Huduma z... Soma zaidi
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kupitia idara za kinywa na meno, na fiziotherapi ilitoa elimu kwa watumishi wa NSSF Manyara. Zoezi hilo pia liliambatana na kueleza huduma mbalimbali zi... Soma zaidi