Barua Pepe | Facebook | Instagram | Twitter |

Ukaribisho

profile

Dkt. Katherine T. Magali
Mganga Mfawidhi wa Hospitali

Karibu Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara! Hospitali yetu ina utamaduni wa kufanya kazi kwa ukaribu na wagonjwa ili kuhakikisha kuwa huduma bora za afya zinatolewa kila wakati. Wafanyikazi wetu wa hospitali wamefunzwa kikamilifu katika michakato ya hivi karibuni na kw...

Soma zaidi

Huduma Zetu zote

Kliniki ya Wanawake na afya ya Uzazi

  • Uchunguzi na matibabu ya changamoto za uzazi (infertility)
  • Upasuaji wa magonjwa mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa wanawake
  • Huduma za uzazi wa mpango na uchunguzi wa saratani
  • Uchunguzi na matibabu ya maamb...
readmore

RCH

  • Hospitali yetu inalenga huduma za uboreshaji wa afya ya mama na mtoto, afya ya mama na mtoto ni vipao mbele muhimu katika Hospitali yetu ili kukabiliana na kuweza kupunguza vifo vya mama na mtoto.
  • zipo huduma mbalimbali zitolewazo katika kiten...
readmore

Huduma hizi utolewa kila siku katika hospitali yetu.

Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;

  • Ustawi na uzuiaji, kama vile ushauri nasaha na mipango ya kupunguza uzito.
  • Utambuzi, kama vile vipimo vya maabara na skizi za MRI.
  • ...
readmore

Huduma hii utolewa kila siku katika hospitali yetu.

Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;

  1. Utunzaji wa papo hapo
  2. Matibabu
  • Huduma ya wagonjwa wa ndani hutolewa kwa utunzaji na matibabu kulingana na mahitaji ya wagonjw...
readmore

Matukio zote

Muda wa Kuwaona Wagonjwa

Jumatatu - Ijumaa

  • Kutoka 06:00 to 08:30
  • Kutoka 13:30 to 15:00
  • Kutoka 18:00 to 19:30

Kliniki za Leo zote

Elimu ya Afya zote

ELIMU YA MAGONJWA

Kujikinga na kujilinda dhidi ya magonjwa ni  muhimu  kwa ajili ya afya zetu. Zipo njia mbalimbali za kujikinga zidi ya magonjwa kwa njia ya maji, chakula, wanyama, wadudu na watu.

MAJI

  • Vimelea wengi wanaweza “kuingia” moja kwa moja katika mwili w...
read more
ELIMU YA LISHE

Lishe bora maana yake ni kula chakula cha kutosha na chakula chenye virutubisho vyote muhimu. Lishe bora  husaidia mwili kukua vyema, kuujenga mwili lakini pia huimarisha kinga ya mwili ili kuweza  kupigana na magonjwa. Ili lishe iwe bora ni muhimu iwe na...

read more
ELIMU YA USAFI
  • Kama tunavyojua usafi wa mazingira na mwili  ni njia ya kuendeleza afya kwa kuzuia mawasiliano ya binadamu na athari za taka.  Usafi kama njia ya kuzuia maradhi inaweza kutumika kwa usahihi  kabisa ili kuzuia maradhi na milipuko ya magonjwa mbalimbali ...
read more
CORONA (COVID-19)
ELIMU YA VIRUSI VYA EBOLA

12

3

4

5

6

read more
UGONJWA WA MARBURG

Ugonjwa wa Marburg ni nini?

Kulingana na Umoja wa Mataifa, virusi vya Marburg, ambavyo ni sawa na virusi hatari vya Ebola, viligunduliwa kwa mara ya kwanza baada ya watu 31 kuambukizwa, saba kati yao walikufa, mnamo 1967 huko Marburg na Frank...

read more

Maudhui ya Wizara zote

Matangazo zote