Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Wauguzi ni miongoni mwa wataalamu wa Afya wanaopaswa kuheshimiwa na kupewa thamani inayostahili...Soma zaidi

Karibu Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara! Hospitali yetu ina utamaduni wa kufanya kazi kwa ukaribu na wagonjwa ili kuhakikisha kuwa huduma bora za afya zinatolewa kila wakati. Wafanyikazi wetu wa hospitali wamefunzwa kikamilifu katika michakato ya hivi karibuni na kw...
Soma zaidiHUDUMA ZITOLEWAZO
Huduma hizi utolewa kila siku katika hospitali yetu.
Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;
Huduma hii utolewa kila siku katika hospitali yetu.
Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Wauguzi ni miongoni mwa wataalamu wa Afya wanaopaswa kuheshimiwa na kupewa thamani inayostahili...Soma zaidi
Kujikinga na kujilinda dhidi ya magonjwa ni muhimu kwa ajili ya afya zetu. Zipo njia mbalimbali za kujikinga zidi ya magonjwa kwa njia ya maji, chakula, wanyama, wadudu na watu.
MAJI
Lishe bora maana yake ni kula chakula cha kutosha na chakula chenye virutubisho vyote muhimu. Lishe bora husaidia mwili kukua vyema, kuujenga mwili lakini pia huimarisha kinga ya mwili ili kuweza kupigana na magonjwa. Ili lishe iwe bora ni muhimu iwe na...
read moreKitaalam, ugonjwa huu wa ini husababishwa na virusi vya Hepatitis B(HBV)ambayo vinathiri mifumo wa utoaji wa sumu katika mwilini wa binadamu. Inaaminika kwamba robo tatu ya watu ulimwenguni wameathiriwa na vinyemelea vya homa ya ini na wengine mili...
read more