Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Tiba Dkt. Hamadi Nyembea kutoka Wizara ya Afya akiwa na Timu ya Wizara hiyo pamoja na Muwakilishi wa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt. Mandala Adam walifan...Soma zaidi
Kliniki ya Wanawake na afya ya Uzazi
- Uchunguzi na matibabu ya changamoto za uzazi (infertility)
- Upasuaji wa magonjwa mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa wanawake
- Huduma za uzazi wa mpango na uchunguzi wa saratani
- Uchunguzi na matibabu ya maamb...
RCH
- Hospitali yetu inalenga huduma za uboreshaji wa afya ya mama na mtoto, afya ya mama na mtoto ni vipao mbele muhimu katika Hospitali yetu ili kukabiliana na kuweza kupunguza vifo vya mama na mtoto.
- zipo huduma mbalimbali zitolewazo katika kiten...
Huduma hizi utolewa kila siku katika hospitali yetu.
Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;
- Ustawi na uzuiaji, kama vile ushauri nasaha na mipango ya kupunguza uzito.
- Utambuzi, kama vile vipimo vya maabara na skizi za MRI. ...
Huduma hii utolewa kila siku katika hospitali yetu.
Huduma zitolewazo kwa wagonjwa wa ndani ni kama ifuatavyo;
- Utunzaji wa papo hapo
- Matibabu
- Huduma ya wagonjwa wa ndani hutolewa kwa utunzaji na matibabu kulingana na mahitaji ya wagonjw...
- No records found
- Posted on: December 6th, 2024
KITUO JUMUISHI CHA MKONO KWA MKONO CHAZINDULIWA RASMI MANYARA.
- Posted on: November 29th, 2024
WANAFUNZI WA KIDATO CHA 4 WAWAJULIA HALI WAGONJWA
- Posted on: November 25th, 2024
WAGONJWA 365 WAMEPATIWA MATIBABU YA KIBINGWA WILAYANI SIMANJIRO
- Posted on: November 21st, 2024
MANYARA WAZINDUA KLINIKI YA HAEMOPHILIA NA SELIMUNDU.
Jumatatu - Ijumaa
- Kutoka 06:00 to 08:30
- Kutoka 13:30 to 15:00
- Kutoka 18:00 to 19:30
- Kliniki ya Wanawake na Afya ya Uzazi Kutoka 11:00 AM to 06:30 AM
- Kliniki ya Magonjwa ya Ndani (Figo, Moyo, Presha na Kisukari) Kutoka 11:00 AM to 06:30 AM
- Kliniki ya Upasuaji na Magonjwa ya Mifupa Kutoka 11:00 AM to 06:30 AM
- Kliniki ya Kinywa na Meno Kutoka 11:30 AM to 06:30 AM
- Kliniki ya Macho Kutoka 11:00 AM to 06:30 AM