Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga,amesema kuwa, utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote Mkoani Manyara umeanza rasmi kwa kutoa bima za afya kwa wazee na kutoa elimu kwa wananchi mbali... Soma zaidi
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga,amesema kuwa, utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote Mkoani Manyara umeanza rasmi kwa kutoa bima za afya kwa wazee na kutoa elimu kwa wananchi mbali... Soma zaidi
Serikali imetangaza mwanzo wa enzi mpya ya uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi katika sekta ya afya baada ya kuzindua rasmi kwa mfumo wa kidijitali wa “Ongea na Waziri wa Afya” ... Soma zaidi
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa uhamasishaji wa wawekezaji wa viwanda vya dawa nchini ni mpango wa Taifa ulioanzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan shabaha ikiwa ni kuona... Soma zaidi
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa amezitaka Taasisi ambazo ziko chini ya Wizara ya Afya na Vituo vyote vya kutolea huduma kujitathmini utendaji kazi wake, mapungufu na changamoto na kuo... Soma zaidi
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amehimiza jamii kupewa elimu ya magonjwa ya kuambukiza kwa kuwafikia wananchi wa rika zote, hususan vijana, kwa kutumia mitandao ya kijamii kama n... Soma zaidi
Naibu Waziri wa Afya Mh. Dkt. Florence Samizi amefanya ziara mkoani Manyara leo tarehe 26 Novemba, 2025 na kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara. Akiwa katika ziara yake ametem... Soma zaidi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) leo Novemba 24, 2025, imetoa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kwa ajili ya kusaidia kuokoa maisha ya wat... Soma zaidi
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekalaghe amewahimiza wananchi kutumia hospitali za Mikoa nchini kupata huduma za kibingwa, akisema Serikali imejipanga kikamilifu kuboresha huduma bor... Soma zaidi
Watumishi 34 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara wakiwemo wafamasia, wauguzi, wataalam wa maabara, madaktari na kada nyinginezo, wamehitimu mafunzo ya uboreshaji wa maeneo ya kazi yanay... Soma zaidi
Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe imeadhimisha Siku ya Afya ya Akili Duniani mwaka 2025 kwa kuandaa kambi maalumu ya matibabu, ushauri nasihi na mafunzo ya afya ya akili katika Wil... Soma zaidi